Proverbs 13:1 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtoto mwenye hekima husikia maagizo ya baba yake, lakini mwenye dharau hasikilizi maonyo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya babaye, bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwana mwenye hekima husikiliza mausia ya babaye; Bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtoto mwenye hekima husikia maagizo ya baba yake, lakini mwenye dharau hasikilizi maonyo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya babaye, bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya babaye, bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwana mwenye hekima husikiliza mausia ya babaye; Bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtoto mwenye hekima husikia maagizo ya baba yake, lakini mwenye dharau hasikilizi maonyo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwana mwerevu wa kweli hutaka kuonywa na baba, lakini mfyozaji hasikii akikemewa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwana mwenye hekima husikiliza mausia ya babaye; Bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutoto mwenye hekima anasikia maagizo ya baba yake, lakini mwenye kiburi hasikilizi maonyo.