Proverbs 13:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tumaini la kungojangoja huumiza moyo, lakini tazamio linalotimia ni mti wa uhai.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kilichotarajiwa kikikawia kuja moyo huugua, bali tumaini lililotimizwa ni mti wa uzima.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua. Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tumaini la kungojangoja huumiza moyo, lakini tazamio linalotimia ni mti wa uhai.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kilichotarajiwa kikikawia kuja moyo huugua, bali tumaini lililotimizwa ni mti wa uzima.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kilichotarajiwa kikikawia kuja moyo huugua, bali tumaini lililotimizwa ni mti wa uzima.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua. Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tumaini la kungojangoja huumiza moyo, lakini tazamio linalotimia ni mti wa uhai.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Uliyoyangojea yakikawia sana huuguza moyo, lakini kuyapata, uliyoyatamani, ni mtu wa uzima.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua. Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tumaini la kungojangoja linaumiza moyo, lakini tazamio linalotimia ni musingi wa uzima.