Proverbs 13:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mafundisho ya wenye hekima ni chemchemi ya uhai; humwezesha mtu kuiepa mitego ya kifo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima, ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mafundisho ya wenye hekima ni chemchemi ya uhai; humwezesha mtu kuiepa mitego ya kifo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima, yamgeuzayo mtu kutoka mitego ya mauti.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima, ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mafundisho ya wenye hekima ni chemchemi ya uhai; humwezesha mtu kuiepa mitego ya kifo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maonyo ya mwerevu wa kweli ni kisima cha uzima, maana ni kuepuka penye matanzi ya kifo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mafundisho ya wenye hekima ni chemichemi ya uzima; inamwezesha mutu kuepuka mitego ya kifo.