Proverbs 13:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenye busara hutenda kila kitu kwa akili, lakini mpumbavu hutembeza upumbavu wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kila mwenye busara hutenda kwa maarifa, bali mpumbavu hudhihirisha upumbavu wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenye busara hutenda kila kitu kwa akili, lakini mpumbavu hutembeza upumbavu wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kila mwenye busara hutenda kwa maarifa, bali mpumbavu hudhihirisha upumbavu wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kila mwenye busara hutenda kwa maarifa, bali mpumbavu hudhihirisha upumbavu wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenye busara hutenda kila kitu kwa akili, lakini mpumbavu hutembeza upumbavu wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwerevu hufanya yote kwa ujuzi, lakini mpumbavu hujikuza kwa mapumbavu yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye akili anatenda kila kitu kwa kufikiri, lakini mupumbafu anatembeza upumbafu wake.