Proverbs 13:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mjumbe mbaya huwatumbukiza watu taabuni, lakini mjumbe mwaminifu huleta nafuu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mjumbe mwovu huanguka kwenye taabu, bali mjumbe mwaminifu huleta uponyaji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mjumbe mbaya huanguka maovuni; Bali mjumbe mwaminifu ni afya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mjumbe mbaya huwatumbukiza watu taabuni, lakini mjumbe mwaminifu huleta nafuu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mjumbe mwovu huanguka kwenye taabu, bali mjumbe mwaminifu huleta uponyaji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mjumbe mwovu huanguka kwenye taabu, bali mjumbe mwaminifu huleta uponyaji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mjumbe mbaya huanguka maovuni; Bali mjumbe mwaminifu ni afya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mjumbe mbaya huwatumbukiza watu taabuni, lakini mjumbe mwaminifu huleta nafuu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mjumbe asiyemcha Mungu huanguka kwa ubaya, lakini mtume mwelekevu huponya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mjumbe mbaya huanguka maovuni; Bali mjumbe mwaminifu ni afya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mujumbe mubaya anawatumbukiza watu katika taabu, lakini mujumbe mwaminifu analeta amani.