Proverbs 13:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Umaskini na fedheha humpata asiyejali mafundisho, lakini mwenye kusikia maonyo huheshimiwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye anayedharau maonyo hupata umaskini na aibu, bali yeye anayekubali maonyo huheshimiwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Umaskini na fedheha zitampata yeye akataaye kurudiwa; Bali yeye aangaliaye maonyo ataheshimiwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Umaskini na fedheha humpata asiyejali mafundisho, lakini mwenye kusikia maonyo huheshimiwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye anayedharau maonyo hupata umaskini na aibu, bali yeye anayekubali maonyo huheshimiwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye anayedharau maonyo hupata umaskini na aibu, bali yeye anayekubali maonyo huheshimiwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Umaskini na fedheha zitampata yeye akataaye kurudiwa; Bali yeye aangaliaye maonyo ataheshimiwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Umaskini na fedheha humpata asiyejali mafundisho, lakini mwenye kusikia maonyo huheshimiwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ukiwa na matusi humpata akataaye kuonyeka, lakini aangaliaye akikanywa hupata heshima.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Umaskini na fedheha zitampata yeye akataaye kurudiwa; Bali yeye aangaliaye maonyo ataheshimiwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Umasikini na mazarau vinamupata yule asiyejali mafundisho, lakini mwenye kusikia maonyo anaheshimiwa.