Proverbs 13:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Inafurahisha upatapo kile unachotaka, kwa hiyo wapumbavu huchukia kuepa uovu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tarajio lililotimizwa ni tamu kwa nafsi, bali wapumbavu huchukia sana kuacha ubaya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Haja iliyopatikana ni tamu nafsini mwa mtu; Bali kujitenga na maovu ni chukizo kwa wapumbavu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Inafurahisha upatapo kile unachotaka, kwa hiyo wapumbavu huchukia kuepa uovu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tarajio lililotimizwa ni tamu kwa nafsi, bali wapumbavu huchukia sana kuacha ubaya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tarajio lililotimizwa ni tamu kwa nafsi, bali wapumbavu huchukia sana kuacha ubaya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Haja iliyopatikana ni tamu nafsini mwa mtu; Bali kujitenga na maovu ni chukizo kwa wapumbavu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Inafurahisha upatapo kile unachotaka, kwa hiyo wapumbavu huchukia kuepa uovu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kuyapata, mtu aliyoyatamani, huipendeza roho yake, lakini yanayowatapisha wapumbavu ni kuacha mabaya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Haja iliyopatikana ni tamu nafsini mwa mtu; Bali kujitenga na maovu ni chukizo kwa wapumbavu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni jambo la kufurahisha unapopata kile unachotaka, kwa hiyo wapumbafu wanachukia kuepuka uovu.