Proverbs 13:21 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watendao dhambi huandamwa na balaa, lakini waadilifu watatuzwa mema.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Balaa humwandama mtenda dhambi, bali mafanikio ni thawabu kwa mwenye haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Uovu huwaandamia wenye dhambi; Bali mwenye haki atalipwa mema.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watendao dhambi huandamwa na balaa, lakini waadilifu watatuzwa mema.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Balaa humwandama mtenda dhambi, bali mafanikio ni thawabu kwa mwenye haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Balaa humwandama mtenda dhambi, bali mafanikio ni thawabu kwa mwenye haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Uovu huwafuatia wenye dhambi; Bali mwenye haki atalipwa mema.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watendao dhambi huandamwa na balaa, lakini waadilifu watatuzwa mema.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mabaya huwakimbiza wakosaji, lakini waongofu Mungu huwalipa mema.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Uovu huwaandamia wenye dhambi; Bali mwenye haki atalipwa mema.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanaotenda zambi wanapatwa na hasara, lakini wenye haki wanafanikiwa.