Proverbs 13:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shamba la maskini hutoa mazao mengi, lakini bila haki hunyakuliwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shamba la mtu maskini laweza kuzalisha chakula kingi, bali dhuluma hukifutilia mbali.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Chakula kingi chapatikana kwa ukulima wa maskini; Bali viko viharibiwavyo kwa sababu ya dhuluma.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shamba la maskini hutoa mazao mengi, lakini bila haki hunyakuliwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shamba la mtu maskini laweza kuzalisha chakula kingi, bali dhuluma hukifutilia mbali.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shamba la mtu maskini laweza kuzalisha chakula kingi, bali dhuluma hukifutilia mbali.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Chakula kingi chapatikana kwa ukulima wa maskini; Bali viko viharibiwavyo kwa sababu ya dhuluma.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shamba la maskini hutoa mazao mengi, lakini bila haki hunyakuliwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Shamba, waliloanza kulilima, huwapatia wakiwa vilaji vingi, lakini wengine hupokonywa kwa kufanya yasiyo sawa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Chakula kingi chapatikana kwa ukulima wa maskini; Bali viko viharibiwavyo kwa sababu ya dhuluma.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Shamba la masikini linatoa mazao mengi, lakini linanyanganywa juu ya wale wanaopotosha haki.