Proverbs 13:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Achungaye mdomo wake huyahifadhi maisha yake, anayeropoka ovyo hujiletea maangamizi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye alindaye midomo yake hulinda nafsi yake, bali yeye asemaye kwa haraka ataangamia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Achungaye mdomo wake huyahifadhi maisha yake, anayeropoka ovyo hujiletea maangamizi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye alindaye midomo yake hulinda nafsi yake, bali yeye asemaye kwa haraka ataangamia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye alindaye midomo yake hulinda nafsi yake, bali yeye asemaye kwa haraka ataangamia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Achungaye mdomo wake huyahifadhi maisha yake, anayeropoka ovyo hujiletea maangamizi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akilindaye kinywa chake huilinda roho yake, lakini aifunuaye midomo yake hujiangamiza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayechunga kinywa chake analinda maisha yake, mwenye midomo mirefu anajiletea maangamizi.