Proverbs 13:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mvivu hutamani lakini hapati chochote, hali mwenye bidii hujaliwa riziki kwa wingi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mvivu hutamani sana na hapati kitu, bali nafsi ya mwenye bidii hutoshelezwa kikamilifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mvivu hutamani lakini hapati chochote, hali mwenye bidii hujaliwa riziki kwa wingi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mvivu hutamani sana na hapati kitu, bali nafsi ya mwenye bidii hutoshelezwa kikamilifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mvivu hutamani sana na hapati kitu, bali nafsi ya mwenye bidii hutoshelezwa kikamilifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mvivu hutamani lakini hapati chochote, hali mwenye bidii hujaliwa riziki kwa wingi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Roho yake mvivu hutamani vingi pasipo kupata kitu, lakini roho zao wajihimizao kufanya kazi hushibishwa sana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Muvivu anatamani lakini hapati kitu chochote, wakati mwenye bidii anajaliwa kwa wingi.