Proverbs 13:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwadilifu huuchukia uongo, lakini mwovu hutenda kwa aibu na fedheha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwenye haki huchukia uongo, bali waovu huleta aibu na fedheha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye haki huchukia kusema uongo; Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwadilifu huuchukia uongo, lakini mwovu hutenda kwa aibu na fedheha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwenye haki huchukia uongo, bali waovu huleta aibu na fedheha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwenye haki huchukia uongo, bali waovu huleta aibu na fedheha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye haki huchukia kusema uongo; Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwadilifu huuchukia uongo, lakini mwovu hutenda kwa aibu na fedheha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwongofu huchukia neno la uwongo, lakini asiyemcha Mungu hufanya yachukizayo nayo yatwezayo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye haki huchukia kusema uongo; Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye haki anachukia uongo, lakini mwovu anatenda kwa kupatisha haya na mazarau.