Proverbs 13:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu, lakini dhambi huwaangusha waovu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Haki humlinda mtu mwadilifu, bali uovu humwangusha mwenye dhambi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu, lakini dhambi huwaangusha waovu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Haki humlinda mtu mwadilifu, bali uovu humwangusha mwenye dhambi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Haki humlinda mtu mwadilifu, bali uovu humwangusha mwenye dhambi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Uadilifu huwalinda wenye mwenendo mnyofu, lakini dhambi huwaangusha waovu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwongofu humlinda ashikaye njia isiyokosesha, lakini kuacha kumcha Mungu humwangusha mkosaji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Haki inalinda wenye mwenendo sawa, lakini zambi inaangusha waovu.