Proverbs 13:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Fidia ya mtu ni mali yake, lakini maskini hana cha kutishwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Utajiri wa mtu unaweza kukomboa maisha yake, bali mtu maskini hasikii kitisho.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Dia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake; Bali mtu maskini hasikii ogofyo lo lote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Fidia ya mtu ni mali yake, lakini maskini hana cha kutishwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Utajiri wa mtu waweza kukomboa maisha yake, bali mtu maskini hasikii kitisho.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Utajiri wa mtu waweza kukomboa maisha yake, bali mtu maskini hasikii kitisho.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake; Bali mtu maskini hasikii ogofyo lolote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Fidia ya mtu ni mali yake, lakini maskini hana cha kutishwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Makombozi ya roho ya mtu ni mali zake nyingi, lakini maskini hasikii makemeo yo yote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Dia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake; Bali mtu maskini hasikii ogofyo lo lote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ukombozi wa uzima wa mutu ni mali yake, lakini masikini hana njia ya kujikomboa.