Proverbs 14:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa, lakini hema ya wanyofu itaimarishwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nyumba ya mwovu itaangamizwa, bali hema la mnyofu litastawi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nyumba ya mtu mbaya itabomolewa; Bali hema ya mwenye haki itafanikiwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa, lakini hema ya wanyofu itaimarishwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nyumba ya mwovu itaangamizwa, bali hema la mnyofu litastawi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nyumba ya mwovu itaangamizwa, bali hema la mnyofu litastawi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa; Bali hema la mwenye haki litafanikiwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa, lakini hema ya wanyofu itaimarishwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nyumba zao wasiomcha Mungu hubomolewa, lakini mahema yao wanyokao yatachanua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nyumba ya mtu mbaya itabomolewa; Bali hema ya mwenye haki itafanikiwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nyumba ya mutu mwovu itabomolewa, lakini hema ya watu wa usawa itaimarishwa.