Proverbs 14:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anayemdharau jirani yake ni mwenye dhambi, bali ana heri aliye mwema kwa maskini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye anayemdharau jirani yake hutenda dhambi, bali amebarikiwa yeye aliye na huruma kwa mhitaji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Amdharauye mwenzake afanya dhambi; Bali amhurumiaye maskini ana heri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anayemdharau jirani yake ni mwenye dhambi, bali ana heri aliye mwema kwa maskini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye anayemdharau jirani yake hutenda dhambi, bali amebarikiwa yeye aliye na huruma kwa mhitaji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye anayemdharau jirani yake hutenda dhambi, bali amebarikiwa yeye aliye na huruma kwa mhitaji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Amdharauye mwenzake afanya dhambi; Bali amhurumiaye maskini ana heri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anayemdharau jirani yake ni mwenye dhambi, bali ana heri aliye mwema kwa maskini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Amwendeaye mwenziwe na kumbeza hukosa, lakini awahurumiaye wanyonge ni mwenye shangwe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Amdharauye mwenzake afanya dhambi; Bali amhurumiaye maskini ana heri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayemuzarau jirani yake ni mwenye zambi, lakini ana heri yule anayekuwa mwema kwa masikini.