Proverbs 14:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bidii katika kila kazi huleta faida, lakini maneno matupu huleta umaskini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kazi zote zinazofanywa kwa bidii huleta faida, bali mazungumzo matupu huelekea umaskini tu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bidii katika kila kazi huleta faida, lakini maneno matupu huleta umaskini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kazi zote zinazofanywa kwa bidii huleta faida, bali mazungumzo matupu huelekea umaskini tu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kazi zote zinazofanywa kwa bidii huleta faida, bali mazungumzo matupu huelekea umaskini tu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bidii katika kila kazi huleta faida, lakini maneno matupu huleta umaskini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Masumbuko yote yako na mapato, lakini yaliyo maneno matupu ya midomo huleta ukosefu tu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Bidii katika kila kazi inaleta faida, lakini maneno matupu yanaleta umasikini.