Proverbs 14:25 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shahidi wa kweli huokoa maisha, lakini msema uongo ni msaliti.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shahidi wa kweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Shahidi wa kweli huponya nafsi za watu; Bali atoaye uongo hudanganya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shahidi wa kweli huokoa maisha, lakini msema uongo ni msaliti.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shahidi wa kweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shahidi wa kweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Shahidi wa kweli huponya nafsi za watu; Bali atoaye uongo hudanganya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shahidi wa kweli huokoa maisha, lakini msema uongo ni msaliti.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Shahidi mwenye kweli huponya roho za watu, lakini asemaye uwongo huziponza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Shahidi wa kweli huponya nafsi za watu; Bali atoaye uongo hudanganya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mushuhuda wa kweli anaokoa maisha, lakini musema uongo ni mudanganyifu.