Proverbs 14:28 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Fahari ya mfalme ni wingi wa watu wake, lakini bila watu mtawala huangamia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wingi wa watu ni utukufu wa mfalme, bali pasipo watu mkuu huangamia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Utukufu wa mfalme ni wingi wa watu wake; Bali uchache wa watu ni uharibifu wa mkuu wao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Fahari ya mfalme ni wingi wa watu wake, lakini bila watu mtawala huangamia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wingi wa watu ni utukufu wa mfalme, bali pasipo watu mkuu huangamia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wingi wa watu ni utukufu wa mfalme, bali pasipo watu mkuu huangamia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Utukufu wa mfalme ni wingi wa watu wake; Bali uchache wa watu ni uharibifu wa mkuu wao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Fahari ya mfalme ni wingi wa watu wake, lakini bila watu mtawala huangamia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Utukufu wa mfalme umo katika wingi wa watu, lakini watu wanapokwisha, mkuu wao huangamia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Utukufu wa mfalme ni wingi wa watu wake; Bali uchache wa watu ni uharibifu wa mkuu wao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utukufu wa mufalme ni wingi wa watu wake, lakini bila watu mutawala anaangamia.