Proverbs 14:29 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu asiye mwepesi wa hasira ana busara kubwa, lakini akasirikaye upesi hukuza upumbavu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye subira ana ufahamu mwingi, bali anayekasirika haraka huonesha upumbavu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi; Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu asiye mwepesi wa hasira ana busara kubwa, lakini akasirikaye upesi hukuza upumbavu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye subira ana ufahamu mwingi, bali anayekasirika haraka huonyesha upumbavu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye subira ana ufahamu mwingi, bali anayekasirika haraka huonyesha upumbavu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi; Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu asiye mwepesi wa hasira ana busara kubwa, lakini akasirikaye upesi hukuza upumbavu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mvumilivu anao utambuzi mwingi, lakini mwenye moyo mdogo hukuza ujinga.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi; Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu asiyekuwa mwepesi wa hasira ana akili nyingi, lakini anayekasirika upesi anaongeza upumbafu.