Proverbs 14:30 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Amani rohoni humpa mtu afya, lakini tamaa huozesha mifupa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Moyo wenye amani huupa mwili uzima, bali wivu huozesha mifupa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Moyo ulio mzima ni uhai wa mwili; Bali husuda ni ubovu wa mifupa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Amani rohoni humpa mtu afya, lakini tamaa huozesha mifupa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Moyo wenye amani huupa mwili uzima, bali wivu huozesha mifupa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Moyo wenye amani huupa mwili uzima, bali wivu huozesha mifupa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Moyo ulio mzima ni uhai wa mwili; Bali husuda ni ubovu wa mifupa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Amani rohoni humpa mtu afya, lakini tamaa huozesha mifupa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Moyo mpole ni uzima wa mwili, lakini wivu ni kama ugonjwa wa ubovu mifupani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Moyo ulio mzima ni uhai wa mwili; Bali husuda ni ubovu wa mifupa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Amani ndani ya roho inamupa mutu afya, lakini wivu inaozesha mifupa.