Proverbs 14:31 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anayemdhulumu maskini anamtukana Muumba wake, lakini amwoneaye huruma mhitaji anamtukuza Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye anayemdhulumu maskini humdharau Muumba wao, bali yeyote anayemhurumia mhitaji humheshimu Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Amwoneaye maskini humsuta Muumba wake; Bali yeye awahurumiaye wahitaji humheshimu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anayemdhulumu maskini anamtukana Muumba wake, lakini amwoneaye huruma mhitaji anamtukuza Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye amwoneaye maskini huonyesha dharau kwa Muumba wao, bali ye yote anayemhurumia mhitaji humheshimu Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye amwoneaye maskini huonyesha dharau kwa Muumba wao, bali yeyote anayemhurumia mhitaji humheshimu Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Amwoneaye maskini humsuta Muumba wake; Bali yeye awahurumiaye wahitaji humheshimu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anayemdhulumu maskini anamtukana Muumba wake, lakini amwoneaye huruma mhitaji anamtukuza Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akorofishaye mnyonge humsimanga aliyemwumba, lakini amheshimuye humhurumia mkiwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Amwoneaye maskini humsuta Muumba wake; Bali yeye awahurumiaye wahitaji humheshimu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayemutesa muzaifu anamutukana Muumba wake, lakini anayemwonea huruma mukosefu anamutukuza Mungu.