Proverbs 14:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwovu huangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwadilifu hupata usalama kwa unyofu wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Waovu huangamizwa kwa matendo yao maovu, bali hata katika kifo wenye haki hupata kimbilio.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwovu huangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwadilifu hupata usalama kwa unyofu wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waovu huangamizwa kwa matendo yao maovu, bali hata katika kifo wenye haki hupata kimbilio.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waovu huangamizwa kwa matendo yao maovu, bali hata katika kifo wenye haki hupata kimbilio.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwovu huangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwadilifu hupata usalama kwa unyofu wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa ubaya wake asiyemcha Mungu hukumbwa, aanguke, lakini mwongofu hata kufani yuko na kimbilio lake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwovu anaangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwenye haki atapata usalama kwa uaminifu wake.