Proverbs 14:33 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hekima imo moyoni mwa mtu mwenye busara; haipatikani kamwe mioyoni mwa wapumbavu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hekima hukaa katika moyo wa mwenye ufahamu bali haijulikani miongoni mwa wapumbavu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hekima imo moyoni mwa mtu mwenye busara; haipatikani kamwe mioyoni mwa wapumbavu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hekima hukaa katika moyo wa mwenye ufahamu bali haijulikani miongoni mwa wapumbavu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hekima hukaa katika moyo wa mwenye ufahamu bali haijulikani miongoni mwa wapumbavu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hekima imo moyoni mwa mtu mwenye busara; haipatikani kamwe mioyoni mwa wapumbavu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Moyoni mwa mtambuzi ndimo, werevu wa kweli unamotua, lakini yaliyomo mioyoni mwa wapumbavu hujulikana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hekima iko ndani ya moyo wa mutu mwenye akili, lakini haipatikani hata kidogo ndani ya moyo wa mupumbafu.