Proverbs 14:34 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Uadilifu hukuza taifa, lakini dhambi ni balaa kwa taifa lolote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Haki huinua taifa, bali dhambi ni aibu kwa watu wote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Uadilifu hukuza taifa, lakini dhambi ni balaa kwa taifa lolote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Haki huinua taifa, bali dhambi ni aibu kwa watu wote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Haki huinua taifa, bali dhambi ni aibu kwa watu wote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wowote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Uadilifu hukuza taifa, lakini dhambi ni balaa kwa taifa lolote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wongofu hukuza taifa, lakini ukosaji hutweza makabila mazima.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Haki inainua taifa, lakini zambi ni haya kwa taifa lote.