Proverbs 14:4 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bila ng'ombe wa kulima ghala za mtu ni tupu, mavuno mengi hupatikana kwa nguvu ya ng'ombe wa kulima.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pale ambapo hakuna mafahali, hori ni tupu, bali kutokana na nguvu za fahali huja mavuno mengi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Zizi ni safi ambapo hapana ng'ombe; Bali nguvu za ng'ombe zaleta faida nyingi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bila ng'ombe wa kulima ghala za mtu ni tupu, mavuno mengi hupatikana kwa nguvu ya ng'ombe wa kulima.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pale ambapo hakuna mafahali, hori ni tupu, bali kutokana na nguvu za fahali huja mavuno mengi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pale ambapo hakuna mafahali, hori ni tupu, bali kutokana na nguvu za fahali huja mavuno mengi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Zizi ni safi ambapo hapana ng'ombe; Bali nguvu za ng'ombe zaleta faida nyingi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bila ng'ombe wa kulima ghala za mtu ni tupu, mavuno mengi hupatikana kwa nguvu ya ng'ombe wa kulima.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Pasipo ng'ombe zizi hukaa likiwa safi, lakini mapato huwa mengi, nguvu za ng'ombe zinapotumiwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Zizi ni safi ambapo hapana ng’ombe; Bali nguvu za ng’ombe zaleta faida nyingi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Bila ngombe wa kulima gala za mutu ni tupu. Mavuno mengi yanapatikana kwa nguvu ya ngombe wa kulima.