Proverbs 14:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shahidi mwaminifu hasemi uongo, lakini asiyeaminika hububujika uongo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shahidi mwaminifu hadanganyi, bali shahidi wa uongo humimina uongo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shahidi mwaminifu hasemi uongo, lakini asiyeaminika hububujika uongo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shahidi wa kweli hadanganyi, bali shahidi wa uongo humimina uongo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shahidi mwaminifu hadanganyi, bali shahidi wa uongo humimina uongo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shahidi mwaminifu hasemi uongo, lakini asiyeaminika hububujika uongo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Shahidi mwenye kweli haongopi, asemaye maneno ya uwongo ni shahidi mwenye uwongo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mushuhuda mwaminifu hasemi uongo, lakini asiyeaminiwa anabubujika uongo.