Proverbs 14:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ondoka mahali alipo mpumbavu, maana hapo alipo hamna maneno ya hekima.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kaa mbali na mtu mpumbavu, kwa maana hutapata maarifa katika midomo yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Toka mbele ya uso wa mpumbavu, Maana hutaona kwake midomo ya maarifa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ondoka mahali alipo mpumbavu, maana hapo alipo hamna maneno ya hekima.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kaa mbali na mtu mpumbavu, kwa maana hutapata maarifa katika midomo yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kaa mbali na mtu mpumbavu, kwa maana hutapata maarifa katika midomo yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Toka mbele ya uso wa mpumbavu, Maana hutaona kwake midomo ya maarifa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ondoka mahali alipo mpumbavu, maana hapo alipo hamna maneno ya hekima.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Toka kwa mtu aliye mjinga! Kwani kwake huoni midomo ijuayo maana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Toka mbele ya uso wa mpumbavu, Maana hutaona kwake midomo ya maarifa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ondoka pahali mupumbafu anapokuwa, maana pale anapokuwa hakuna maneno ya hekima.