Proverbs 14:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hekima ya mwenye busara humwonesha njia yake, lakini upumbavu wa wapumbavu huwadanganya wenyewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hekima ya mwenye busara ni kufikiria njia zake, bali upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akili za mwenye busara ni kujua njia yake; Lakini upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hekima ya mwenye busara humwonesha njia yake, lakini upumbavu wa wapumbavu huwadanganya wenyewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hekima ya mwenye busara ni kufikiria njia zake, bali upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hekima ya mwenye busara ni kufikiria njia zake, bali upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akili za mwenye busara ni kujua njia yake; Lakini upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hekima ya mwenye busara humwonesha njia yake, lakini upumbavu wa wapumbavu huwadanganya wenyewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Werevu wa kweli wa mtu aerevukaye humtambulisha njia yake, lakini ujinga wa wapumbavu huwadanganya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akili za mwenye busara ni kujua njia yake; Lakini upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hekima ya mwenye akili inamwonyesha njia yake, lakini upumbafu wa wapumbafu unawadanganya wenyewe.