Proverbs 15:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenye madharau hapendi kuonywa, hatafuti kamwe maoni ya wenye busara.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwenye mzaha huchukia maonyo; hatataka shauri kwa mwenye hekima.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye mzaha hapendi kukaripiwa; Wala yeye hawaendei wenye hekima.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenye madharau hapendi kuonywa, hatafuti kamwe maoni ya wenye busara.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwenye mzaha huchukia maonyo, hatataka shauri kwa mwenye hekima.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwenye mzaha huchukia maonyo; hatataka shauri kwa mwenye hekima.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye mzaha hapendi kukaripiwa; Wala yeye hawaendei wenye hekima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenye madharau hapendi kuonywa, hatafuti kamwe maoni ya wenye busara.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfyozaji hapendi, mtu akimkanya, wala haendi kwao werevu wa kweli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye mzaha hapendi kukaripiwa; Wala yeye hawaendei wenye hekima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye mazarau hapendi kuonywa, hatafuti hata kidogo maoni ya wenye hekima.