Proverbs 15:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Njia ya mvivu imesambaa miiba, njia ya mwaminifu ni wazi kama barabara kuu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Njia ya mvivu imezibwa na miiba, bali njia ya mwenye haki ni barabara kuu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Njia ya mvivu imesambaa miiba, njia ya mwaminifu ni wazi kama barabara kuu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Njia ya mvivu imezibwa na miiba, bali njia ya mwenye haki ni barabara kuu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Njia ya mvivu imezibwa na miiba, bali njia ya mwenye haki ni barabara kuu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Njia ya mvivu imesambaa miiba, njia ya mwaminifu ni wazi kama barabara kuu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Njia ya mvivu hufanana na boma lenye miiba mikali, lakini mapito yao wanyokao ni njia zilizotengenezwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Njia ya muvivu inajaa miiba, lakini njia ya mutu wa usawa ni wazi kama barabara kubwa.