Proverbs 15:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtoto mwenye hekima humfurahisha baba yake, lakini mpumbavu humdharau mama yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtoto mwenye hekima humfurahisha baba yake, lakini mpumbavu humdharau mama yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtoto mwenye hekima humfurahisha baba yake, lakini mpumbavu humdharau mama yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwana mwerevu wa kweli humfurahisha baba yake, lakini mtu mpumbavu humbeza mama yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutoto mwenye hekima anamufurahisha baba yake, lakini mupumbafu anamuzarau mama yake.