Proverbs 15:24 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Njia ya mwenye hekima huelekea juu kwenye uhai, ili aepe kuingia chini kuzimu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mapito ya uzima huelekea juu kwa ajili ya wenye hekima kumwepusha asiende chini kaburini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa mtu mwenye akili njia ya uhai huenda juu; Ili atoke katika kuzimu chini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Njia ya mwenye hekima huelekea juu kwenye uhai, ili aepe kuingia chini kuzimu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mapito ya uzima huelekea juu kwa ajili ya wenye hekima kumwepusha asiende chini kaburini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mapito ya uzima huelekea juu kwa ajili ya wenye hekima kumwepusha asiende chini kaburini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa mtu mwenye akili njia ya uhai huenda juu; Ili atoke katika kuzimu chini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Njia ya mwenye hekima huelekea juu kwenye uhai, ili aepe kuingia chini kuzimu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Njia yake aerevukaye ya kwenda uzimani huelekea juu, kusudi ajiepushe kuzimuni huko chini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa mtu mwenye akili njia ya uhai huenda juu; Ili atoke katika kuzimu chini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Njia ya mwenye hekima inaelekea juu kwenye uzima, kusudi aepuke kuingia chini katika kuzimu.