Proverbs 15:27 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anayetamani faida ya ulanguzi anaitaabisha jamaa yake, lakini achukiaye hongo ataishi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye tamaa huletea jamaa yake taabu, bali yeye achukiaye rushwa ataishi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe; Bali achukiaye zawadi ataishi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anayetamani faida ya ulanguzi anaitaabisha jamaa yake, lakini achukiaye hongo ataishi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye tamaa huletea jamaa yake taabu, bali yeye achukiaye rushwa ataishi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye tamaa huletea jamaa yake taabu, bali yeye achukiaye rushwa ataishi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe; Bali achukiaye zawadi ataishi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anayetamani faida ya ulanguzi anaitaabisha jamaa yake, lakini achukiaye hongo ataishi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atakaye mapato ya upotovu huwavuruga waliomo nyumbani mwake, lakini achukiaye mapenyezo hujipatia uzima.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe; Bali achukiaye zawadi ataishi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayetamani faida ya unyanganyi anataabisha jamaa yake, lakini anayechukia kituliro ataishi.