Proverbs 15:28 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Moyo wa mwadilifu hufikiri kabla ya kujibu, lakini kinywa cha mwovu hububujika uovu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Moyo wa mwenye haki hupima majibu yake, bali kinywa cha mwovu hufoka ubaya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Moyo wa mwadilifu hufikiri kabla ya kujibu, lakini kinywa cha mwovu hububujika uovu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Moyo wa mwenye haki hupima majibu yake, bali kinywa cha mwovu hufoka ubaya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Moyo wa mwenye haki hupima majibu yake, bali kinywa cha mwovu hufoka ubaya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Moyo wa mwadilifu hufikiri kabla ya kujibu, lakini kinywa cha mwovu hububujika uovu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Moyo wa mwongofu huyawaza, atakayoyajibu, lakini vinywa vyao wasiomcha Mungu hububujika mabaya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Moyo wa mwenye haki unafikiri mbele ya kujibu, lakini kinywa cha mwovu kinatapika uovu.