Proverbs 15:31 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu ambaye husikiliza maonyo mema, anayo nafasi yake miongoni mwa wenye hekima.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye asikilizaye maonyo yatoayo uzima atakuwa miongoni mwa wenye hekima.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sikio lisikilizalo lawama yenye uhai Litakaa kati yao wenye hekima.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu ambaye husikiliza maonyo mema, anayo nafasi yake miongoni mwa wenye hekima.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye asikilizaye maonyo yatoayo uzima atakuwa miongoni mwa wenye hekima.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye asikilizaye maonyo yatoayo uzima atakuwa miongoni mwa wenye hekima.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sikio lisikilizalo lawama yenye uhai Litakaa kati yao wenye hekima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu ambaye husikiliza maonyo mema, anayo nafasi yake miongoni mwa wenye hekima.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sikio linalosikia maonyo yanayompatia mtu uzima hupenda kukaa kwao werevu wa kweli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sikio lisikilizalo lawama yenye uhai Litakaa kati yao wenye hekima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu ambaye anasikiliza maonyo mema ana nafasi yake kati ya wenye hekima.