Proverbs 15:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ulimi mpole ni chanzo cha uhai, lakini uovu wake huvunja moyo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ulimi uletao uponyaji ni mti wa uzima, bali ulimi udanganyao huponda roho.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ulimi safi ni mti wa uzima; Bali ukorofi wa ulimi huvunja moyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ulimi mpole ni chanzo cha uhai, lakini uovu wake huvunja moyo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ulimi uletao uponyaji ni mti wa uzima, bali ulimi udanganyao huponda roho.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ulimi uletao uponyaji ni mti wa uzima, bali ulimi udanganyao huponda roho.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ulimi safi ni mti wa uzima; Bali ukorofi wa ulimi huvunja moyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ulimi mpole ni chanzo cha uhai, lakini uovu wake huvunja moyo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Upole wa ulimi ni mti wa uzima, lakini udanganyifu uliomo huvunja moyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ulimi safi ni mti wa uzima; Bali ukorofi wa ulimi huvunja moyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ulimi mupole ni musingi wa uzima, lakini uovu wake unavunja moyo.