Proverbs 15:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mpumbavu hudharau mafundisho ya baba yake, lakini anayekubali maonyo ana busara.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mpumbavu hubeza maonyo ya baba yake, bali yeyote akubaliye maonyo huonesha busara.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mpumbavu hudharau kurudiwa na babaye; Bali yeye aangaliaye maonyo hupata busara.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mpumbavu hudharau mafundisho ya baba yake, lakini anayekubali maonyo ana busara.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mpumbavu hubeza maonyo ya baba yake, bali ye yote akubaliye maonyo huonyesha busara.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mpumbavu hubeza maonyo ya baba yake, bali yeyote akubaliye maonyo huonyesha busara.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mpumbavu hudharau kurudiwa na babaye; Bali yeye aangaliaye maonyo hupata busara.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mpumbavu hudharau mafundisho ya baba yake, lakini anayekubali maonyo ana busara.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mjinga hukataa kuonywa na baba yake, lakini aangaliaye akikanywa huerevuka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mpumbavu hudharau kurudiwa na babaye; Bali yeye aangaliaye maonyo hupata busara.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mupumbafu anazarau mafundisho ya baba yake, lakini anayekubali maonyo ni mwenye akili.