Proverbs 16:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme huamua kwa maongozi ya Mungu; anapotoa hukumu hakosei.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Midomo ya mfalme huzungumza kwa hekima ya kiungu, wala kinywa chake hakipotoshi haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kukata maneno huwa katika midomo ya mfalme; Kinywa chake hakitakosa katika hukumu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme huamua kwa maongozi ya Mungu; anapotoa hukumu hakosei.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Midomo ya mfalme huzungumza kwa hekima ya kiungu, wala kinywa chake hakipotoshi haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Midomo ya mfalme huzungumza kwa hekima ya kiungu, wala kinywa chake hakipotoshi haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kukata maneno huwa katika midomo ya mfalme; Kinywa chake hakitakosa katika hukumu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme huamua kwa maongozi ya Mungu; anapotoa hukumu hakosei.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Midomo ya mfalme inayoyasema ni fumbo, kwa kukata shauri kinywa chake hakidanganyi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kukata maneno huwa katika midomo ya mfalme; Kinywa chake hakitakosa katika hukumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme anaamua kwa maongozi toka kwa Mungu. Anapotoa hukumu hapotoki.