Proverbs 16:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hasira ya mfalme ni kama mjumbe wa kifo; mtu mwenye busara ataituliza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ghadhabu ya mfalme ni mjumbe wa mauti, bali mtu mwenye hekima ataituliza.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hasira ya mfalme ni kama wajumbe wa mauti; Lakini mtu mwenye hekima ataituliza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hasira ya mfalme ni kama mjumbe wa kifo; mtu mwenye busara ataituliza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ghadhabu ya mfalme ni mjumbe wa mauti, bali mtu mwenye hekima ataituliza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ghadhabu ya mfalme ni mjumbe wa mauti, bali mtu mwenye hekima ataituliza.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hasira ya mfalme ni kama wajumbe wa mauti; Lakini mtu mwenye hekima ataituliza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hasira ya mfalme ni kama mjumbe wa kifo; mtu mwenye busara ataituliza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Makali ya mfalme hufanana na wajumbe wa kifo, lakini mtu mwerevu wa kweli huyatuliza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hasira ya mfalme ni kama wajumbe wa mauti; Lakini mtu mwenye hekima ataituliza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hasira ya mufalme ni kama mujumbe wa kifo; mutu mwenye hekima ataituliza.