Proverbs 16:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Njia ya wanyofu huepukana na uovu; anayechunga njia yake huhifadhi maisha yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya; yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Njia ya wanyofu huepukana na uovu; anayechunga njia yake huhifadhi maisha yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Njia kuu ya wanyofu huepa ubaya, yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya; yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Njia ya wanyofu huepukana na uovu; anayechunga njia yake huhifadhi maisha yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwenendo wao wanyokao huepuka penye mabaya, aiangaliaye roho yake huilinda njia yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Njia ya watu wa usawa ni kujiepusha na uovu; anayechunga njia yake anachunga maisha yake.