Proverbs 16:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Afadhali kuwa mnyenyekevu na kuwa maskini, kuliko kugawana nyara na wenye kiburi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ni afadhali kuwa na roho ya unyenyekevu miongoni mwa walioteswa kuliko kugawana nyara na wenye kiburi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Afadhali kuwa na roho ya unyenyekevu pamoja na maskini, Kuliko kugawanya nyara pamoja na wenye kiburi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Afadhali kuwa mnyenyekevu na kuwa maskini, kuliko kugawana nyara na wenye kiburi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ni afadhali kuwa mnyenyekevu katika roho miongoni mwa walioonewa kuliko kugawana nyara pamoja na wenye kiburi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ni afadhali kuwa mnyenyekevu katika roho miongoni mwa walioonewa kuliko kugawana nyara pamoja na wenye kiburi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Afadhali kuwa na roho ya unyenyekevu pamoja na maskini, Kuliko kugawanya nyara pamoja na wenye kiburi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Afadhali kuwa mnyenyekevu na kuwa maskini, kuliko kugawana nyara na wenye kiburi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kujinyenyekeza pamoja nao wanyonge ni kwema kuliko kugawanya mapokonyo pamoja nao wajivunao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Afadhali kuwa na roho ya unyenyekevu pamoja na maskini, Kuliko kugawanya nyara pamoja na wenye kiburi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Afazali kuwa munyenyekevu pamoja na masikini, kuliko kugawanyana vitu vya unyanganyi pamoja na wenye kiburi.