Proverbs 16:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Moyo wa mwenye hekima humwezesha kusema kwa busara; huyafanya maneno yake yawe ya kuvutia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Moyo wa mtu mwenye hekima huongoza kinywa chake, na midomo yake huchochea mafundisho.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Moyo wake mwenye hekima hufundisha kinywa chake; Huzidisha elimu ya midomo yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Moyo wa mwenye hekima humwezesha kusema kwa busara; huyafanya maneno yake yawe ya kuvutia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Moyo wa mtu mwenye hekima huongoza kinywa chake, na midomo yake huchochea mafundisho.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Moyo wa mtu mwenye hekima huongoza kinywa chake, na midomo yake huchochea mafundisho.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Moyo wake mwenye hekima hufundisha kinywa chake; Huzidisha elimu ya midomo yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Moyo wa mwenye hekima humwezesha kusema kwa busara; huyafanya maneno yake yawe ya kuvutia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Moyo wa mwerevu wa kweli hukifundisha kinywa chake, nayo midomo yake huendesha mafunzo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Moyo wake mwenye hekima hufundisha kinywa chake; Huzidisha elimu ya midomo yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Moyo wa mwenye hekima unamwezesha kusema kwa hekima; unayafanya maneno yake yakuwe ya kuvutia.