Proverbs 16:24 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maneno mazuri ni kama asali; ni matamu rohoni na yenye kuupa mwili afya.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Maneno ya kupendeza ni kama sega la asali, ni matamu kwa nafsi na uponyaji kwenye mifupa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maneno mazuri ni kama asali; ni matamu rohoni na yenye kuupa mwili afya.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Maneno ya kupendeza ni kama sega la asali, ni matamu kwa nafsi na uponyaji kwenye mifupa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Maneno ya kupendeza ni kama sega la asali, ni matamu kwa nafsi na uponyaji kwenye mifupa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maneno mazuri ni kama asali; ni matamu rohoni na yenye kuupa mwili afya.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maneno yapendezayo ni asali iliyo nzuri yenyewe, roho huyaona kuwa matamu, nayo mifupa hupata uzima mumo humo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maneno mazuri ni kama asali. Ni matamu kwa nafsi na yenye kuupatia mwili afya.