Proverbs 16:31 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kuwa na mvi za uzee ni taji la utukufu; hupatikana kwa maisha ya uadilifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mvi ni taji la utukufu; hupatikana kwa maisha ya uadilifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kuwa na mvi za uzee ni taji la utukufu; hupatikana kwa maisha ya uadilifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mvi ni taji ya utukufu, hupatikana kwa maisha ya uadilifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mvi ni taji ya utukufu; hupatikana kwa maisha ya uadilifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kuwa na mvi za uzee ni taji la utukufu; hupatikana kwa maisha ya uadilifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mvi ni kilemba chenye utukufu, huonekana katika njia ya wongofu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuwa na imvi za uzee ni taji la utukufu; zinapatikana kwa maisha ya haki.