Proverbs 17:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Afanyalo mtu mwovu ni kuasi tu; mjumbe mkatili atatumwa dhidi yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwovu hupenda kuasi tu; mjumbe asiye na huruma atatumwa dhidi yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu mwovu hataki neno ila kuasi tu; Kwa hiyo mjumbe mkali atatumwa kwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Afanyalo mtu mwovu ni kuasi tu; mjumbe mkatili atatumwa dhidi yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mbaya hupenda kuasi tu, mjumbe asiye na huruma atatumwa dhidi yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mbaya hupenda kuasi tu; mjumbe asiye na huruma atatumwa dhidi yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu mwovu hataki neno ila kuasi tu; Kwa hiyo mjumbe mkali atatumwa kwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Afanyalo mtu mwovu ni kuasi tu; mjumbe mkatili atatumwa dhidi yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mbaya anayoyatafuta ni ukatavu tu, kwa hiyo kwake hutumwa mjumbe mshupavu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu mwovu hataki neno ila kuasi tu; Kwa hiyo mjumbe mkali atatumwa kwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nia ya mutu mwovu ni kuasi tu; mujumbe mubaya atatumwa juu yake.