Proverbs 17:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenye kulipiza mema kwa mabaya, mabaya hayataondoka nyumbani mwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ikiwa mtu atalipa baya kwa jema, kamwe ubaya hautaondoka katika nyumba yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye arudishaye mabaya badala ya mema, Mabaya hayataondoka nyumbani mwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenye kulipiza mema kwa mabaya, mabaya hayataondoka nyumbani mwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ikiwa mtu atalipa baya kwa jema, kamwe ubaya hautaondoka katika nyumba yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ikiwa mtu atalipa baya kwa jema, kamwe ubaya hautaondoka katika nyumba yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye arudishaye mabaya badala ya mema, Mabaya hayataondoka nyumbani mwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenye kulipiza mema kwa mabaya, mabaya hayataondoka nyumbani mwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu aliyepata mema akiyalipa kwa kufanya mabaya, basi, nyumbani mwake yeye mabaya hayakomeki.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye arudishaye mabaya badala ya mema, Mabaya hayataondoka nyumbani mwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye kulipa mazuri kwa mabaya, mabaya hayataondoka katika nyumba yake.