Proverbs 17:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ya nini mpumbavu kuwa na fedha mkononi kununulia hekima, wakati yeye mwenyewe hana akili?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Fedha ina faida gani mikononi mwa mpumbavu, wakati yeye hana haja ya kupata hekima?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ya nini mpumbavu kuwa na fedha mkononi kununulia hekima, wakati yeye mwenyewe hana akili?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Fedha ina faida gani mikononi mwa mpumbavu, wakati yeye hana haja ya kupata hekima?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Fedha ina faida gani mikononi mwa mpumbavu, wakati yeye hana haja ya kupata hekima?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ya nini mpumbavu kuwa na fedha mkononi kununulia hekima, wakati yeye mwenyewe hana akili?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Je? Fedha mkononi mwa mpumbavu ni za nini? Za kununua werevu wa kweli? Tena akili haziko!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa nini mupumbafu kuwa na feza katika mukono kwa kununua hekima, wakati yeye mwenyewe hana akili?