Proverbs 17:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Si jambo la akili kuweka rehani, na kuwa mdhamini wa mtu mwingine.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mjinga huutoa mkono ili kuweka rehani, naye huweka dhamana kwa jirani yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Aliyepungukiwa na akili hupana mkono na mtu; Na kuwa mdhamini mbele ya mwenzake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Si jambo la akili kuweka rehani, na kuwa mdhamini wa mtu mwingine.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mjinga hupana mkono ili kuweka rehani naye huweka dhamana kwa jirani yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mjinga hupana mkono ili kuweka rehani, naye huweka dhamana kwa jirani yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Asiye na hekima hupeana mkono na mtu; Na kuwa mdhamini wa mtu mwingine.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Si jambo la akili kuweka rehani, na kuwa mdhamini wa mtu mwingine.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu aliyepotelewa na akili ni yule anayepeana mkono na mwingine, anayejitoa kwa mwingine kuwa dhamana ya mwenziwe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Aliyepungukiwa na akili hupana mkono na mtu; Na kuwa mdhamini mbele ya mwenzake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu asiyekuwa na akili anajitoa rehani kwa deni ya mutu mwingine.