Proverbs 17:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na baba wa mpumbavu hana furaha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni; hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Azaaye mpumbavu ni kwa huzuni yake mwenyewe; Wala baba wa mpumbavu hana furaha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na baba wa mpumbavu hana furaha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni, hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni; hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Azaaye mpumbavu ni kwa huzuni yake mwenyewe; Wala baba wa mpumbavu hana furaha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na baba wa mpumbavu hana furaha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Azaaye mpumbavu hujipatia majonzi, hata babake mjinga hapati furaha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Azaaye mpumbavu ni kwa huzuni yake mwenyewe; Wala baba wa mpumbavu hana furaha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutoto mupumbafu ni huzuni kwa baba yake, na baba wa mupumbafu hana furaha.